Saturday, December 6, 2014

WAZEE WA KAZI Coastal Union Mazoezini


 Wachezaji wa timu ya Coastal Union ya Tanga wakifanya mazoezi katika uwanja wa CCM Mkwakwani kujiandaa na mchezo dhini ya Prison ya Mbeya ambayo utachezwa katka uwanja wa Sokoine





Mazoezini Mkwakwani, Wanandinga wa Coastali Unioni wakijifua Mkwakwani Tanga leo asubuhi

No comments:

Post a Comment